Kutoka Gengeni Mpaka Mauzo Mtandaoni: Namna ya Kuwa na E-Commerce Site Afrika
Mwaka 2025 mauzo ya bidhaa mtandaoni (e-commerce) hapa Afrika yanakadiriwa kufikia $75 billion, inaonyesha kwamba nafasi za kukuza na kuanzisha biashara zimekuwa nyingi sana.